VIDEO: Rais wa TFF afunguka kuhusu kocha mpya, ampongeza Makonda
byMuungwana Blog 1-
0
Rais wa TFF Wallace Karia leo Agosti 7 amefunguka kwa kutolea ufafanuzi kuhusu kocha mpya ambaye wameingia nae mkataba wa miaka 2 huku akimpongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwa ushirikiano wake anauonyesha kwa shirikisho hilo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE