"Kama mimi ni Mkurugenzi wa manispaa ya Temete sitakubali kuona mkandarasi wa namna hii na kama hatajirekebisha mimi na kamati yangu nitavunja mkataba aende akatafute kazi sehemu nyingine, sijatumwa na rais Magufuli kuja kuhesabu makampuni Dar es salaam" Mkurugenzi Temeke
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE
