Nyumbani Kauli ya kwanza ya Mo Dewji baada ya kupatikana byMuungwana Blog 2 -10/20/2018 08:17:00 AM 0 “Namshukuru Mwenyezi Mungu nimerudi salama nyumbani. Nawashukuru Watanzania wenzangu na watu wote kote duniani kwa dua na sala zao. Nashukuru mamlaka zote, ikiwemo Jeshi la Polisi, zilizofanya kazi ya kuhakikisha narudi salama.” — Mohammed Dewji Facebook Twitter