Kamanda wa jeshi la polisi nchini, IGP. Simon Sirro amethibitisha kupatikana kwa silaha hatari kwenye gari ambalo linalodaiwa kuwa ndio lilitumiwa na watu waliomteka mMohammed Dewji. Miongoni mwa silaha hizo zilizopatikana kwenye gari hilo ni bunduki aina ya AK-47 pamoja na risasi zake 19, pastola tatu pamoja na risasi zake 16.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
