Spika Ndugai akutana na kuzungumza na Balozi wa Sweden Dar

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amekutana na kuzungumza na Balozi wa Sweden nchini ofisini kwake jijini Dar es salaam.

Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg  akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai katika picha ya pamoja na Balozi wa Sweden Nchini Mhe. Andres Sjoberg mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items