VIDEO: Rais Museveni azungumzia kuahirishwa kwa Mkutano wa EAC
byMuungwana Blog 2-
0
Rais wa Uganda na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Yoweri Museveni azungumzia kuahirishwa kwa Mkutano wa 20 wa Jumuiya hiyo uliofanyika leo Jijini Arusha katika ukumbi wa AICC.