VIDEO: SIRI NZITO: Viwanda vya Korosho Mtwara, Waziri asema haya


Waziri wa kilimo Mh. Japhet Hasunga, amesema kuwa wamefanya matembezi na kugagua viwanda mbalimbali mkoani mtwara ambavyo kati ya hivyo wamegundua kuwa kuna viwanda havifanyi kazi na vimekuwa vikitumika kama maghala.


TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..........USISAHAU KUSUBSCRIBE...........
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia