VIDEO: Rais ameagiza, Ushoga haukubaliki! - Mwenyekiti Wazazi CCM Taifa
byMuungwana Blog 2-
0
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Dk. Edmund Mndolwa amesema kuwa mikutano ambayo wamekuwa wakifanya kila wilaya ni kusisitiza maadili mema kwa jamii kama alivyoagiza Rais Magufuli.