Ambokile ajiunga na klabu ya Afrika Kusini

Klabu ya Mbeya City ya mkoani Mbeya imesema kuwa nyota wake Eliud Ambokile amejiunga rasmi na klabu ya Black Leopards F.C.

Ambokile anajiunga na klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu nchini Afrika Kusini kwa mkopo wa miezi mitatu.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia