Nyumbani Fenerbahce yamsajili mchezaji wa Chelsea byMuungwana Blog 2 -1/25/2019 09:00:00 PM 0 Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki imekamilisha usajili wa mchezaji wa Chelsea Victor Moses kwa mkopo wa miezi 18. Moses ataitumikia klabu hiyo hadi mwishoni mwa msimu wa 2019/20. Facebook Twitter