Manispaa ya Temeke Dar kutoza wananchi Tsh. 50,000 kwa ajili ya kucheza muziki


Manispaa ya Temeke, Dar es salaam itaanza kutoza Tsh. 50,000 ili kutoa kibali kwa mtu anayetaka kufanya shughuli za kijamii zikiwemo kupiga muziki kwenye kumbi/baa, harusi, sendoff, jando na unyago.

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia