Picha: Vanessa Mdee apatiwa tuzo kwa wimbo aliomuimbia Mahatma Gandhi
byMuungwana Blog 3-
0
Msanii wa Bongo, Vanessa Mdee ametunukiwa tuzo na Balozi wa India hapa nchini kufuatia wimbo ulioufanya uitwao Vaishnav Jan kwa ajili umuenzi Baba wao wa Taifa hilo (India) Mahatma Gandhi.