Picha: Rais Dkt. Shein azindua uwanja wa Mao-Tsetung
byMuungwana Blog 3-
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein amezindua Uwanja wa Michezo wa Mao-Tsetung, Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Ikiwa ni Shamra shamra za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.