Picha: Waziri Mkuu amjulia hali Mbunge Kitwanga hospitali









Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemjulia hali Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya madaktari na wauguzi wa Kitengo cha Kusafisha Damu katika hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma wakati alipowajulia hali wagonjwa  hospitalini.

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia