Upendo mwingi huja watu wakiona umekufa - Hamisa Mobetto


Mwanamitindo na Msanii wa Muziki, Hamisa Mobetto amesema kuwa upendo mwingi huja watu wakikuona umekufa.

Hamisa kupitia ukurasa wake wa Instagram wa Insta Story, amesema kuwa watakupa maua wakati wanajua huwezi kuyanusa.

" Upendo mwingi huja watu wakikuona umekufa, Watakupa maua wakati wanajua huwezi kuyanusa," aliandika Hamisa.


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia