Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amepokea Taarifa ya kamati maalumu iliyohusisha watu kutoka kada mbalimbali aliyoiunda kwa ajili ya kuchunguza mauaji ya wanyama pori hasa Twiga wilayani Longido mkoani Arusha katika kipindi cha miaka miwili.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE