Watu 12 waripotiwa kufariki kutokana na mafuriko yaliotokea nchini Saudia kwa muda wa siku 4.
Mvua kali na upepo zimetajwa kuwa sababu za mafuriko hayo ya yaliopelekea maafa.
Kulingana na taarifa zilizotolewa na shirika la habari la SPA la Saudia mvua zilizonyesha tangu Jumapili zimepekea vifo vya watu 12.
Mvua hizo zilizosababisha mafuriko zimeathiri maeneo tofauti nchini Saudia.
Watu 271 wameokolewa na kupelekwa katika amaeno salama kufuatia mvua hizo zilizosababisha mafuriko.
Mvua kali na upepo zimetajwa kuwa sababu za mafuriko hayo ya yaliopelekea maafa.
Kulingana na taarifa zilizotolewa na shirika la habari la SPA la Saudia mvua zilizonyesha tangu Jumapili zimepekea vifo vya watu 12.
Mvua hizo zilizosababisha mafuriko zimeathiri maeneo tofauti nchini Saudia.
Watu 271 wameokolewa na kupelekwa katika amaeno salama kufuatia mvua hizo zilizosababisha mafuriko.
