VIDEO: Mbunge wa CCM ajitosa kwa Tundu Lissu, Zitto arushiwa kombora

Mbunge wa Jimbo la Siha Dkt  Godwin Mollel amemshauri Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu ambaye kwasasa yuko nje ya nchi kwa matibabu arudi nchini kwasababu anachokifanya huko hakiendani maadili ya Mtanzania.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi