F BAKWATA watoa taarifa kuhusu siku ya sikukuu ya Eidd El Fitr | Muungwana BLOG

BAKWATA watoa taarifa kuhusu siku ya sikukuu ya Eidd El Fitr


Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetoa taarifa kuwa sikukuu ya Eidd El Fitr itakuwa siku ya Jumatano, Juni 5 au Alhamisi, Juni 6, kutegemeana na kuandama kwa mwezi.