Waandishi wawili wa Shirika la habari la Reuters, Wa Lone, 32 na Kyaw Soe Oo 28, wameachiwa huru na mamlaka ya Myanmar baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka saba Disemba mwaka jana.
Waandishi hao wameachiwa sambamba na wafungwa wengine 6,518 kwa msamaha wa rais.
Waandishi hao walikamatwa kwa kukutwa na nyaraka za serikali kinyume cha sheria.
o.
