Kiungo mpya wa Barcelona Mholanzi Frankie De Jong na mpenzi wake Mikky Kiemeney, wametembelea mbuga za wanyama za Serengeti hapa nchini.
Aidha, zipo taarifa pia za Mshambuliaji, Gonzalo Gerardo HiguaÃn anayeichezea Chelsea FC kuwepo nchini akitembelea vivutio mbalimbali