Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Wankyo Nyigesa amesema watumishi saba wa Malmaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, kwa tuhuma za kukutwa na vitambulisho vya Taifa vipatavyo 15,000.
Kamanda Wankyo Nyigesa akionyesha baadhi ya mali zinazodaiwa kuibwa na watumishi hao, vilivyoibiwa vya NIDA vyote vina thamani ya Tsh. Milioni 15.



