Spika Ndugai aongoza kikao cha Kamati ya Bunge ya Uongozi
byMuungwana Blog 3-
0
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Bunge ya Uongozi kilichokutana kupitia shughuli zilizobaki za Mkutano wa Kumi na Tano wa Bunge unaoendelea Jijini Dodoma.