Zijue faida za kutumia tunda la komamanga



1.Lina uwezo mkubwa wa kuzuia ugonjwa wa kansa

2. Linasaidia kukinga magonjwa ya moyo

Lina uwezo wa kuondoa Cholesterol mbaya ijulikanayo kama (LDL) na kuongeza Cholesterol nzuri ambayo haina madhara mwilini, ijulikanayo kama (HDL), hii husaidia kuondoa kasi ya kupata kansa.

Juisi ya komamanga inasaidia kwa kiasi kikubwa damu kutembea na afya ya mwili kwa ujumla.

3. Huupa afya mshipa wa moyo wa Arteries

4. Husaidia kurekebisha presha ikae sawa.

5. Husaidia kuimarisha mfumo wa meno kinywani, kwa wale wenye tatizo huwa linaondoka kwa kula sana tunda hilo.

6.Komamanga husaidia pia kutokomeza ugonjwa wa kuharisha, kwa mtu anayeharisha akitumia juisi yake anapata nafuu.

7. Husaidia kupunguza uzito na kukuweka sawa.

8. Huongeza hamu ya kula.

9. Husaidia usagaji wa chakula mwilini.

10. Hutibu ugonjwa wa kupungua kwa damu mwilini.