VIDEO: Mkurugenzi awapiga pingu watu wawili kisa?


Mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Arusha Dkt Maulid Madeni amewakamata na kuwapiga Pingu wakusanya ushuru wawili ambao ni Thobias na Agnes Loishie kwa Kuisababishia serikali hasara ya mamilioni ya Fedha katika mizani ya magari iliyopo katika kata ya Muriety

Dk Madeni ambaye alifika majira ya mchana na kukuta wakusanya ushuru hao aliwauliza maswali ambayo walishindwa kuyajibu na akaamuru wapigwe pingu kutokana na kuitia hasara halmashauri.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE