ACT Wazalendo watoa salamu za rambirambi Morogoro kufuatia ajali ya Lori
byMuungwana Blog 5-
0
Chama cha ACT Wazalendo kimepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa za Watanzania zaidi ya 50 kupoteza maisha kutokana na mlipuko wa gari ya mafuta huko Msamvu, Morogoro.