Mashine ya Utra Sound imeibiwa katika mazingira ya kutatanisha ndani ya wodi ya wazazi katika Hospitali ya mji wa Bariadi.
Mashine hiyo ilipotea tangu Agosti 5 mwaka huu mchana na hadi sasa watumishi 17 wa hospitali hiyo wamefikishwa polisi kwa mahojiano zaidi.