Rasmi: Inter Milan yakamilisha usajili wa Lukaku

Klabu ya Inter Milan imethibitisha kusajili mshambuliaji Romelu Lukaku kutoka klabu ya Manchester United kwa mkataba wa miaka mitano kwa ada ya £73m.

Lukaku aliwasili Italia kwaajili ya vipimo vya afya siku ya Jumatano na sasa amekamilisha usajili huo utakaomfanya awepo San Siro hadi Juni 30 2024.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items