VIDEO: Kocha wa AS Kigali atamba baada ya kuichapa KMC/ Ataja udhaifu wao/ Hakuna bahati kwenye mpira


Kocha mkuu wa timu ya AS Kigali, Eric Nshimiyimana ametamba baada ya kuifunga KMC mabao 2-1 kwenye mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza ya kombe la shirikisho. Pia kocha huyo amezungumzia udhaifu walioutumia kwa wapinzani wao.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items