Aliyewahi kuwa mbunge wa viti maalum kupitia CUF, Raisa Abdallah Mussa ambaye kwa sasa ni Katibu wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo amefunguka kuhusu ziara ya Zitto Kabwe Alhamisi hii katika soko la Tandale. Pia Raisa amegusia kuhamia kwake ACT-Wazalendo .
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
