Mafuriko yaripotiwa nchini India kufuatia mvua kali zilizonyesha katika eneo la Maharashtra.
Katika mafuriko hayo watu 16 wamefariki.
Mvua kali zimenyesha katika maeneo tofauti Pune, Satara, Sangli na Kolhapur.
Kituo cha habari cha ANI nchini India kimefahamisha kuwa mvua kali hizo zimesababisha pia uharibifu mkubwa .
Kikosi cha uokozi nchini India kimeafahamisha kuwa kuwaokoa watu 30 000 kutoka katika majumba yao.
Katika mafuriko hayo watu 16 wamefariki.
Mvua kali zimenyesha katika maeneo tofauti Pune, Satara, Sangli na Kolhapur.
Kituo cha habari cha ANI nchini India kimefahamisha kuwa mvua kali hizo zimesababisha pia uharibifu mkubwa .
Kikosi cha uokozi nchini India kimeafahamisha kuwa kuwaokoa watu 30 000 kutoka katika majumba yao.
