Yanga yasonga mbele kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika


Klabu ya Yanga imefanikiwa kupata ushindi ugenini na kusonga mbele kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuifunga Township Rollers 1-0 kwenye Dimba la Taifa la Botswana.

FT: Township Rollers 0-1 Yanga SC (Agg: 1-2)