Mkuu wa
jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro amesema hali ya usalama katika visiwa
vya Zanzibar imezidi kuimarika kutokana na ushirikiano uliopo kati ya vyombo
vya ulinzi na usalama pamoja na wananchi wa visiwani humo.
IGP Sirro
ameyasema hay oleo wakati akiwa katika ziara ya siku moja ambapo amekagua
miradi ya ujenzi wa nyumba za makazi ya askari pamoja na kutembelea eneo la
uwanja wa mbinu za medani lililopo Kiashange, Kaskazini unguja.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI........ USIKOSE KU SUBSCRIBE
