Msanii wa Hip Hop Mkoani Arusha Anneth Godson Jina la Kisanii TRIXY Amesema kuwa yeye ni msanii mwenye malengo lakini ameleza utofauti uliopo kati ya Msanii Ally Kiba pamoja na Diamond Platnum na ameleza kwanini yeye anaimba Hiphop zaidi tofauti na wanawake wengine huku akisema aliyemvutia zaidi kuingia katika Hiphop ni Msanii Tammy The Baddest Rosa Ree
Pia amesema kuwza kutokana na uzuri wake kwa siku anatongozwa na wanaume 6 lakini hawezi kukubalia kila mwanaume kwasababu tayari ana Mchumba
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU SUB SCRIBE
