Azam FC yaendeleza wimbi la ushindi

Azam FC imeendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuichapa Namungo FC 2-1 jana usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam.

Pongezi kwa kiungo mkongwe wa timu hiyo, Frank Raymond Domayo aliyefunga bao la ushindi dakika ya 90 kwa shuti la kipimo kufuatia krosi ya beki Mganda, Nicolas Wadada.


Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia