Pongezi kwa kiungo mkongwe wa timu hiyo, Frank Raymond Domayo aliyefunga bao la ushindi dakika ya 90 kwa shuti la kipimo kufuatia krosi ya beki Mganda, Nicolas Wadada.
Pongezi kwa kiungo mkongwe wa timu hiyo, Frank Raymond Domayo aliyefunga bao la ushindi dakika ya 90 kwa shuti la kipimo kufuatia krosi ya beki Mganda, Nicolas Wadada.

