Nyumbani LIVE: Ziara ya Rais Magufuli Mkoani Songwe byMuungwana Blog 5 -10/04/2019 10:50:00 AM 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Songwe ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Songwe na Wilaya zake. Facebook Twitter