Ndege walioishi miaka Milioni 96 iliyopita wagundulika
byMuungwana Blog 3-
0
Wanasayansi wa Australia wamegundua aina mpya kabisa ya ndege ya Pterosaur ambayo wanasema waliishi takriban milioni 96 iliyopita na walikuwa na mabawa ya mita 4 na walipata jina Joka la Chuma.