Patrick Aussems na Miraji Athumani wa Simba watwa tuzo


Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam, Patrick Aussems amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2019/20.

Huku mshambuliaji  wa timu ya Simba ya Dar es Salaam, Miraji Athumani amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2019/20.

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items