Naibu waziri wa maji Juma Aweso amamuagiza mhandisi mkuu wa wizara ya maji kwenda wilayani Uyui mkoani Tabora kushughulikia mgogoro unasabaisha kusuasua kwa ujenzi wa matenki matatu ya mradi wa Maji kutoka ziwa Victoria ambao unatekelezwa katika baadhi ya wilaya za mkoa wa Tabora.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBCRIBE
