Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana amesema kuwa hali ya usalama iko shwari na hakuna tukio lolote lililotokea katika vituo vyote vya uandikishwaji katika mkoa wa Arusha hivyo wananchi wajitokeze kwa wingi kwaajili ya kujiandikisha ili kumchagua anaestaili.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE
