Rais John Pombe Magufuli leo Oktoba 8 amesema Jeshi la Polisi nchini linanfanya kazi nzuri ya kulinda usalama ambapo imepelekea matukio ya uhalifu nchini kupungua hivyo wasionewe kwani wanatekeleza majukumu yao ipasavyo na kumtaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola kuhakikisha anashughulikia changamoto zinazojitokeza
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE