Nyumbani Wizara ya Afya yakanusha taarifa hii byMuungwana Blog 5 -10/09/2019 04:00:00 PM 0 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inakanusha Tangazo linalosambaa mitandaoni kuwa imetoa ajira mpya kwa vijana 700 wa Tanzania za uelimishaji namna ya uchangishaji damu na ukusanyaji wa damu vijijini. Facebook Twitter