Balozi wa Palestina aungana na mabalozi wa nchi za kiarabu kuboresha huduma ya afya nchini
byMuungwana Blog 2-
0
Balozi wa Palestina nchini Tanzania pamoja na kundi la Mabalozi wa nchi za Kiarabu wameungana kuwakaribisha madaktari kutoka nchi za Uarabuni ambao watashilikiana na hospitali ya Muhimbili kuboresha huduma ya Afya nchini.