Nyumbani Matokeo ya Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo byMuungwana Blog 2 -11/25/2019 06:22:00 PM 0 Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea leo katika viwanja vitatu na haya ndio matokeo ya michezo hiyo. FT: Tanzania Prisons 1-0 Singida United. FT: Namungo FC 1-0 Polisi Tanzania. FT: Ndanda SC 0-1 Coastal Union. Facebook Twitter