Waziri wa maji Prf makame mbarawa amemtaka mkandalasi wa kampuni ya MONMAR kurekebisha miladi ya maji kutokana na miradi mingi mkoani Tabora kuwa mibovu jambo linalo kwamisha azima ya Selikali ya kuwapatia wananchi maji safi na salama.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE