Jeshi la polisi Mkoani Morogoro linawashikilia watu watatu kwa kosa la kuvunja ofisi ya shule ya msingi Msamvu "b" iliyopo kata ya mMwembesongo manispaa ya Morogoro kisha kuiba kompyuta 23 za kufundishia wanafunzi na kuziweka kwenye viroba sita na kuzipakia kwenye gari isiyofahamika na kutoweka kusikojulikana.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE