VIDEO: Mufti Mkuu Tanzania apiga marufuku dufu na kaswida ''mziki moto''
byMuungwana Blog 2-
0
Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi leo Disemba 9 amepiga marufuku dufu na kaswida maarufu kama ''mziki moto'' ambazo zinaaibisha na kuchafua sura ya uislamu huku zikitoka nje na utamaduni wa uislam.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE