Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti amewaambia Walimu wakuu,Maafisa elimu kata kama hawatafika asilimia hamsini katika ufaulu kwa wanafunzi,ni rasmi watakuwa wamejiondoa kwenye nafasi hiyo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI ......USISAHAU KU SUBSCRIBE