VIDEO: Ukweli kuhusu kilichomfukuzisha kocha Aussems Simba SC

Hatimaye klabu ya soka ya Simba SC imemfuta kazi aliyekuwa kocha wake Patrick Aussems huku wakitaja sababu kubwa mbili ambazo zimewafanya viongozi wa timu hiyo kuchukua maamuzi hayo magumu.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE