Mkurugenzi wa Shirika la Kivulini Yassin Ally ameeleza kuwa maambukizi mapya ya Virusi vya ukimwi kwa umri wa miaka 15-24 umeongezeka kwa kasi kutokana na wazazi jinsi wawaleavyo watoto wao pamoja na baadhi ya mikoa ikiwemo mkoa wa shinyanga wanafunzi wa wa kike kuanzia darasa la tatu wanapakwa unga ujulikanao kama 'Samba' ambao unadaiwa kuwavuta wanaume.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
