VIDEO: Wazazi wawapaka unga watoto wao wa kike darasa la tatu kuwavutia wanaume


Mkurugenzi wa Shirika la Kivulini Yassin Ally ameeleza kuwa maambukizi mapya ya Virusi vya ukimwi kwa umri wa miaka 15-24 umeongezeka kwa kasi kutokana na wazazi jinsi wawaleavyo watoto wao pamoja na baadhi ya mikoa ikiwemo mkoa wa shinyanga wanafunzi wa wa kike kuanzia darasa la tatu wanapakwa unga ujulikanao kama 'Samba' ambao unadaiwa kuwavuta wanaume.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Kilimo cha Bamia